Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuondoka kwa Fiston Kalala Mayele kwenye kikosi cha Yanga, Clement Mzize amekuwa na kiwango bora sana ikichagizwa na kupata nafasi ya mara kwa mara kikosini.
Baada ya kuondoka kwa Fiston Kalala Mayele kwenye kikosi cha Yanga, Clement Mzize amekuwa na kiwango bora sana ikichagizwa na kupata nafasi ya mara kwa mara kikosini. Hadi hivi sasa katika michezo minne (4) ya mwisho ambayo Yanga wamecheza amehusika katika upatikanaji wa magoli matano (5), amefunga goli tatu (3) na pasi mbili (2) za usaidizi wa magoli.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: