Thu, 15 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Clement Mzize alionekana akiingia uwanjani na kutoa taulo golini kwa Dodoma Jiji kwenye mechi ambayo Yanga ilishinda bao 1-0
Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga Clement Mzize alionekana akiingia uwanjani na kutoa taulo golini kwa Dodoma Jiji kwenye mechi ambayo Yanga ilishinda bao 1-0 Kwa kosa hilo Mzize atalipa faini Tsh Milioni moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: