Wed, 7 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama kapika asali zake mbili pale Ali Hassan Mwinyi dhidi ya Tabora United.
Kiungo wa Simba SC, Clatous Chama kapika asali zake mbili pale Ali Hassan Mwinyi dhidi ya Tabora United. Mchezo huo uliwashuhudia Simba wakiibuka na ushindi wa mabao 4-0 na kuwafanya kufikisha alama 29 katika nafasi ya tatu msimamo wa Ligi, na kama kawaida yake Chama lazima awe na Moment moja acheze na mabeki kama anacheza na wanae pale nyumbani... Form is Temporary, Class is Permanent...
Chanzo: www.tanzaniaweb.live