Mon, 25 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota, Mwana dada Clara Luvanga amejiunga na kambi ya Twiga Stars akitokea klabu ya Dux Logrono ya Hispania kuelekea mchezo wa mkondo wa pili wa kufuzu WAFCON dhidi ya Ivory Coast utakaochezwa kesho Jumanne Septemba 26, 2023 Azam Complex, Chamazi
Nyota, Mwana dada Clara Luvanga amejiunga na kambi ya Twiga Stars akitokea klabu ya Dux Logrono ya Hispania kuelekea mchezo wa mkondo wa pili wa kufuzu WAFCON dhidi ya Ivory Coast utakaochezwa kesho Jumanne Septemba 26, 2023 Azam Complex, Chamazi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live