Sun, 15 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa Yanga Princess na timu ya taifa, Clara Luvanga ameanza maisha yake mapya katika klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia baada ya kuvunja mkataba na Dux Lugrono ya Hispania.
Mchezaji wa zamani wa Yanga Princess na timu ya taifa, Clara Luvanga ameanza maisha yake mapya katika klabu ya Al Nassr ya Saudi Arabia baada ya kuvunja mkataba na Dux Lugrono ya Hispania. Clara amesaini mkataba wa miaka mitatu na Al Nassr ikiwa ni miezi miwili imepita tangu ajiunge na Dux Lugrono ya Hispania
Chanzo: www.tanzaniaweb.live