Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa FC Bayern Eric Maxim Choupo-Moting hatokuwepo sehemu ya kikosi cha Bayern Munich kitakachosafiri kuelekea Uingereza kumenyana na Manchester City kwenye hatua ya Robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kutokana na matatizo ya goti.
Mshambuliaji wa FC Bayern Eric Maxim Choupo-Moting hatokuwepo sehemu ya kikosi cha Bayern Munich kitakachosafiri kuelekea Uingereza kumenyana na Manchester City kwenye hatua ya Robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya kutokana na matatizo ya goti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live