Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa Pembeni wa Klabu ya Chelsea Muingereza Ben Chilwell ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo.
Beki wa Pembeni wa Klabu ya Chelsea Muingereza Ben Chilwell ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo. Mkataba wa Ben Chilwell ulikua unaisha June 2025 baada ya kuongeza miaka miwili mkataba wake utaenda hadi June 2027.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live