Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kulia wa klabu ya Azam Nathan Chilambo ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026, baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili.
Mlinzi wa kulia wa klabu ya Azam Nathan Chilambo ataendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026, baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live