Thu, 3 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Chelsea imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Luton Town usiku wa Jumatano Uwanja wa Kenilworth Road mjini Luton, Bedfordshire.
Timu ya Chelsea imefanikiwa kwenda Robo Fainali ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Luton Town usiku wa Jumatano Uwanja wa Kenilworth Road mjini Luton, Bedfordshire. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Saul Niguez dakika ya 27, Timo Werner dakika ya 68 na Romelu Lukaku dakika ya 78, wakati ya Luton Town yamefungwa na Reece Burke dakika ya pili na Harry Cornick dakika ya 40.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live