Fri, 24 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Chelsea kuachana na kocha Mauricio Potchettino wako katika mazungumzo na kocha Enzo Maresca ambaye amewahi kuwa msaidizi wa Pep Guardiola.
Baada ya Chelsea kuachana na kocha Mauricio Potchettino wako katika mazungumzo na kocha Enzo Maresca ambaye amewahi kuwa msaidizi wa Pep Guardiola. Chelsea inataka kumchukua kocha huyo aliyeipandisha daraja timu ya Leicester City kutoka Championship na kuja Ligi Kuu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live