Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea ipo kwenye mipango ya kuajiri kocha mpya atakayechukua nafasi ya Mauricio Pochettino aliyeondoka mwishoni mwa msimu huu.
Miongoni mwa makocha waliokuwa kwenye orodha ni pamoja na kocha wa Ipswich Town Kieran Mackenna lakini kwenye orodha ya mwisho jina la kocha huyo halipo.
Majina yaliyosalia kwenye orodha hiyo ni kocha wa Leicester City Enzo Maresca na yule wa Brentford Thomas Frank.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live