Chelsea imeambia AS Roma kwamba watatakiwa kulipa kiasi cha pesa ili kumpata kwa mkopo Romelu Lukaku anayedaiwa kuwa tayari ameshafikia muafaka wa makubaliano binafsi na mabosi wa Roma ambapo amekubali kupunguza mshahara wake ili kutua kwa wababe hao.
Chelsea imeambia AS Roma kwamba watatakiwa kulipa kiasi cha pesa ili kumpata kwa mkopo Romelu Lukaku anayedaiwa kuwa tayari ameshafikia muafaka wa makubaliano binafsi na mabosi wa Roma ambapo amekubali kupunguza mshahara wake ili kutua kwa wababe hao. Lukaku aliripotiwa kufunga safari kwenda nchini Italia jana kwa kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya.