Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chelsea imeweka kiasi cha £35 Million kuihitaji saini ya Michael Olise, maongezi na upande wa mchezaji yanaendelea.
Chelsea imeweka kiasi cha £35 Million kuihitaji saini ya Michael Olise, maongezi na upande wa mchezaji yanaendelea. Chelsea inaendelea na ujenzi wa timu yao, tayari imeshafanya mabala katika Dirisha hili la usajili na bila shaka kitakachozalishwa hapa ni bomu kubwa sana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live