Wed, 21 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wamewasilisha ofa nyingine mpya kwa Chelsea ya Pauni Milioni 45 pamoja na baadae ongezeko la Pauni Milioni 5 ili kupata saini ya Mason Mount
Wakati Chelsea wao wanahitaji Pauni Milioni 60 pamoja na ongezeko la baadae la Pauni Milioni 5 .
Man United wenyewe wameripotiwa hawataki kulipa fedha nyingi zaidi , mazungumzo yanaendelea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live