Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chelsea wako tayari kuzikabili Liverpool na Arsenal katika mbio za kuwania saini ya kiungo wa kati Gabriel Moscardo (18) kutoka Corinthians ya nchini Brazil.
Chelsea wako tayari kuzikabili Liverpool na Arsenal katika mbio za kuwania saini ya kiungo wa kati Gabriel Moscardo (18) kutoka Corinthians ya nchini Brazil. Kiungo huyo atagharimu karibu pound million £26.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live