Thu, 7 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea imejitosa kwenye kinyang'anyiro cha kumtaka kiungo Frenkie de Jong kutoka Barcelona.
Chelsea inampatia de Jong chaguo sahihi, ‘Ligi ya Mabingwa Ulaya’ jambo ambalo limekuwa kikwazo kwa Mholanzi huyo kwenda Manchester United.
The Blues wameripotiwa kuwa watafanya kila njia kuhakikisha wanaipiku Man United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live