Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Chelsea kumsajili Staa wa Bayern Munich

Alphonso Davies Bn Alphonso Davies

Mon, 22 Jan 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Chelsea wanafikiria kumsajili nyota wa Bayern Munich Alphonso Davies mwenye umri wa miaka 23 kwa nia ya kuimarisha kikosi cha meneja wao Mauricio Pochettino.

Taarifa zinasema wakati Chelsea wakiwinda saini ya mchezaji huyo, klabu ya Real Madrid nayo imeonesha nia ya kumnyakua...hata hivyo Chelsea inaelezwa wameshachukua hatua kwa ajili ya beki huyo wa kushoto.

Mkataba wa sasa wa Davies na Bayern Munich utakamilika mwishoni mwa msimu wa 2024-25.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live