Thu, 18 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea itakutana na wakati mgumu wa kumakisha kikosini msimu ujao nyota wake Conor Gallagher ambaye amekuwa na kiwango bora sana msimu huu.
Sababu za Gallagher kuondoka kikosini ni suala la matumizi ya pesa kupita kiasi "Financial Fair Play" kama ambalo liliwakumba Everton na Fulham wakakatwa pesa.
Gallagher amekuwa mhimili mkubwa kwa Chelsea jambo ambalo linawapa matumaini ya kutwaa walau kombe la FA msimu huu baada ya kutokuwa na msimu mzuri kwenye Ligi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live