Sun, 25 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Chelsea inafikiria kumuuza golikipa wao raia wa Hispania, Robert Sanchez msimu huu huku mipango yao ni kumleta kipa wa Arsenal Muingereza, Aaron Ramsdale kama mbadala wake.
Timu ya Chelsea inafikiria kumuuza golikipa wao raia wa Hispania, Robert Sanchez msimu huu huku mipango yao ni kumleta kipa wa Arsenal Muingereza, Aaron Ramsdale kama mbadala wake. Jamani Arsenal mkiwaona wanaanza kupata raha kidogo tu mnawachukua wachezaji wao, hamna huruma!!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live