Sat, 20 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yanga imefanikiwa kuichapa Simba SC jioni ya leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ukiwa ni mchezo wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-1, mabao yakifungw ana Aziz KI na Joseph Guede.
Mara baada ya mchezo huo tazama walichokifanya Yanga walipoingia katika vyumba vya kubadilishia nguo.
@YoungAfricansSC hili vibe???? pic.twitter.com/XylJD5KtuN
— I'm Erick???? (@ErickWizzy2) April 20, 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: