Simba usiku wa Jana walianza safari kutoka katika Jiji la Casablanca kuelekea katika Mji wa Berkane ambako watakuwa na mchezo Kuikabili Timu ya RS Berkane mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Wenyeji wa Simba hawakuwa na hila wala hiyana kuonesha ukarimu kwa Wageni wao kitu ambacho hata Simba wamekishukururu.
Hivi ndivyo Simba walivyopokelewa na wenyeji wao baada ya kikosi kutua Berkane ambako ndipo mchezo utapigwa kesho jumapili.
Tazama Video hapa chini;
???? Hivi ndivyo tulivyopokelewa na wenyeji wetu baada ya kikosi kutua hapa Berkane ambako ndipo mchezo utapigwa kesho jumapili. #NguvuMoja pic.twitter.com/bSpNn1bNTb
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) February 26, 2022