Fri, 18 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Liverpool imeongeza juhudi zake za kumsajili kiungo wa kati wa Crystal Palace na Timu ya Taifa ya Mali, Cheick Doucoure mwenye umri wa miaka 23.
Klabu ya Liverpool imeongeza juhudi zake za kumsajili kiungo wa kati wa Crystal Palace na Timu ya Taifa ya Mali, Cheick Doucoure mwenye umri wa miaka 23. Liverpool imerudi sokoni baada ya kushindwa kuwapata Moses Caicedo na Romeo Lavia ambao wametimkia Chelsea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live