Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Clatous Chama ameitwa kwenye Kikosi cha timu ya Taifa ya Zambia kitakachocheza mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 dhidi ya Congo Brazaville na Niger mwezi November mwaka huu.
Mosses Phiri pamoja na Kennedy Musonda hawajaitwa kwenye Kikosi hicho cha Avram Grant.
Tazama kikosi kamili cha Zambia hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live