Wed, 31 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Meneja wa habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally amesema kiungo wao mshambuliaji Clatous Chama, atarejea kama alivyoondoka.
Amesema kikubwa ni maslahi ya klabu.
“Taarifa kamili kuhusu Chama tutaitoa, lakini tuseme kuwa Chama tulimsimamisha kwa maslahi ya Timu na yake pia hivyo hata tutavyomrudisha atarudishwa kwaajili ya Maslahi ya Timu na yake pia” @ahmedally_ Afisa Habari wa Simba Sc kuhusu kusamehewa kwa Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live