Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Simba, Clatous Chama amesisitizwa na uongozi wa timu hiyo kuwa hautaongeza ofa zaidi kwa ajili yake jambo ambalo amekuwa akisubiri kwa muda sasa kusaini.
Kiungo wa Simba, Clatous Chama amesisitizwa na uongozi wa timu hiyo kuwa hautaongeza ofa zaidi kwa ajili yake jambo ambalo amekuwa akisubiri kwa muda sasa kusaini. Inaelezwa kuwa, Klabu ya Yanga imeweka ofa nono rasmi kupitia Uongozi wa Wachezaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live