Wed, 13 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa sasa mjadala mkubwa ni kuhusu ulinganisho wa wachezaji wawili ambao ni Mwamba wa Lusaka Clatous Chama na Zidane wa Afrika Pacome Zouzoua.
Wapo wanaosema Chama ni bora kuliko Pacome na wapo ambao wanasema Pacome ni bora kuliko Chama ila ukirudi katika takwimu kwenye michezo ya Ligi Kuu wote wako sawa.
Takwimu zao:
Clatous Chama
Goli 4
Assist 5
Mechi 16
Jumla amechangia goli 9
Pacome Zouzoua
Goli 6
Assist 3
Mechi 15
Jumla amechangia goli 9.
Nani atamaliza juu ya mwenzake ni jambo la kusubiri hadi mwisho wa msimi huu?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: