Thu, 19 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Casemiro atakosa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Arsenal wikiendi hii baada ya kuonyeshwa kadi ya njano dhidi ya Crystal Palace.
Casemiro amepata kadi 5 za njano, sheria mojawapo ya ligi Kuu England ukipata kadi 5 za njano unakosa mchezo mmoja wa ligi.
Arsenal wataikaribisha Manchester United siku ya Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu England.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live