Tue, 30 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa klabu ya Liverpool Jamie Callagher ameshangazwa na uamzi wa klabu hiyo kulipendekeza jina la kocha Arne Slot kutoka Feyenoord.
Nyota wa zamani wa klabu ya Liverpool Jamie Callagher ameshangazwa na uamzi wa klabu hiyo kulipendekeza jina la kocha Arne Slot kutoka Feyenoord. Callagher anaamini kuwa klabu hiyo ilipaswa kumsajili kocha wa sasa wa Bayern Munich Tomas Tuchel baada ya Jurgen Klopp kutokana na mafanikio aliyoyapata kocha huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live