Tue, 6 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya Taifa ya England Jamie Carragher amemtaja Debruyne kama mchezaji nyota kuliko mastaa wa zamani.
Nyota wa zamani wa klabu ya Liverpool na timu ya Taifa ya England Jamie Carragher amemtaja Debruyne kama mchezaji nyota kuliko mastaa wa zamani. Carragher amesema licha ya ubora aliokuwa nao Cantona, Zola na Bergkamp hakuna hata mmoja aliyeweza kumfikia Kelvin De Bruyne.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live