Sat, 30 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtazamo wa Jamie Carragher kuelekea game ya Jumapili kati y Arsenal na Man City
“Kama City atafungwa bado siwatoi kwenye mbio za ubingwa naamini wanaweza kubeba taji lakini kama Arsenal watafungwa sioni dalili za wao kuibuka na kushinda tena taji”
“Ukichagua upande wa Liverpool ni wazi utatamani City ifungwe ila bado City anaweza kubeba hili taji hata kama atapoteza mechi hii”
Namna Carragher anavyowaua Arsenal kila wakati angekuwa bongo ,angeambiwa kala 10%
Chanzo: www.tanzaniaweb.live