Timu ya Taifa ya Cameroon imetinga hatua ya 16 bora ya fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) kutokana na ushindi wake wa mabao 3-2 iliyoupata dhidi ya Gambia muda mfupi uliopita. - Kwa ushindi huo Cameroon iliyoanza vibaya fainali hizo ikitoka sare mchezo mmoja na kufungwa mmoja, imemaliza mechi zake za Kundi C ikiwa na pointi nne sawa na Guinea, lakini Cameroon ina faida ya mabao ya kufunga. Guinea sasa wanasubiri nafasi ya ‘best loser’. Senegal imeongoza kundi ikiwa na pointi tisa.
Timu ya Taifa ya Cameroon imetinga hatua ya 16 bora ya fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) kutokana na ushindi wake wa mabao 3-2 iliyoupata dhidi ya Gambia muda mfupi uliopita. - Kwa ushindi huo Cameroon iliyoanza vibaya fainali hizo ikitoka sare mchezo mmoja na kufungwa mmoja, imemaliza mechi zake za Kundi C ikiwa na pointi nne sawa na Guinea, lakini Cameroon ina faida ya mabao ya kufunga. Guinea sasa wanasubiri nafasi ya ‘best loser’. Senegal imeongoza kundi ikiwa na pointi tisa.