Fri, 15 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
El Hadji Diouf anasema kama angekuwa Onana asingekubali kuanzia sub kwenye mechi ya AFCON2023 dhidi ya Nigeria.
“Onana ni mchezaji ninayemuamini sana na nampongeza kwa mapenzi yake makubwa na timu.
“Inewezekana vipi kumpata kipa wa viwango vya Onana ambaye anacheza Manchester United na unamuacha kikosini. Kwangu ni kumkosea heshima na kama ningekuwa Onana nisingekubaliana na hilo.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live