Tue, 30 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa timu ya taifa ya Senegal Lamine Camara alishindwa kutembea kutoka uwanjani kwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kutokana na kutolewa katika mashindano ya AFCON.
Mchezaji wa timu ya taifa ya Senegal Lamine Camara alishindwa kutembea kutoka uwanjani kwenda kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kutokana na kutolewa katika mashindano ya AFCON. Pichani ni mchezaji mwenzake Cheikhou Kouyaté akimbeba kumpeleka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo baada ya kipigo kutoka kwa Ivory coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live