Tue, 9 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Singida Fountain Gate, Olebile Sikwane amesema wana imani na kocha wao, Thabo Senong ambaye ameongoza kikosi hicho katika michuano ya Kombe la Mapinduzi na hawatatafuta mwingine kwasasa.
Msikilize Olebile akizungumza kwa urefu hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live