‘Klabu’ ya Manchester United imemteua aliyekuwa CEO wa ‘klabu’ ya Man City, Omar Berrada kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya katika ‘timu’ hiyo akichukua nafasi #RichardArnold aliyeachilia kiti hicho baada ujio wa Sir Jim Ratcliffe ‘klabuni’ hapo.
‘Klabu’ ya Manchester United imemteua aliyekuwa CEO wa ‘klabu’ ya Man City, Omar Berrada kuwa Afisa Mtendaji Mkuu mpya katika ‘timu’ hiyo akichukua nafasi #RichardArnold aliyeachilia kiti hicho baada ujio wa Sir Jim Ratcliffe ‘klabuni’ hapo. Inaelezwa kuwa raia huyo wa Uhispania# amewahi kufanya kazi na ‘kocha’ Pep Guardiola pia amewahi kuwa mkuu wa uendeshaji wa ‘klabu’ ya Manchester City.