Fri, 24 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 45 za kwanza zimemalizika huko nchini Algeria, wenyeji CR Belouizdad wapo mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya Wananchi Yanga SC.
Magoli ya Belouizdad yamewekwa kimiani na Benguit dakika ya 10 ya mchezo na Abdul dakika ya 45.
Mbungi hii ya kwanza kwa hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika ipo live, tusubiri kipindi cha pili tuone kitakuwaje.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live