Sun, 28 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ikiwa ndio kwanza dakika ya 30 katika dimba la Mkapa, mnyama Simba anaongoza kwa magoli 2-0 ambayo yamepatikana ku[pitia kwa Morisson na Meddie Kagere.
Ikiwa ndio kwanza dakika ya 30 katika dimba la Mkapa, mnyama Simba anaongoza kwa magoli 2-0 ambayo yamepatikana ku[pitia kwa Morisson na Meddie Kagere. Mpaka sasa Bernard Morisson anaonekana kuwa mwiba kwa Red Arrows katika mchezo huu akiwa amefunga goli 1 na kutoa pasi ya bao moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live