Sun, 28 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC wanaendelea kutakata katika dimba la Mkapa Jijini Dar es Salaa dhidi ya Red Arrows ya Zambia.
Bernard Morisson anawafungia Simba goli la tatu na kufanya ubao wa matokeo kusomeka 3-0.
Meddie kagere amekwenda nje ameingia John Bocco, Huku nafasi ya Wawa akiingia Inonga Baka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live