Sun, 20 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi Cha Simba tayari kimeshawasili katika Uwanja wa Seyni Kountche watakpokuwa wageni wa US Gendarmerie mchezo wa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika.
Tazama hapa chini Kikosi kikiwasili;
Tumefika uwanjani ???? #TotalEnergiesCAFCC #NguvuMoja pic.twitter.com/MgsSKJIddr
— Simba Sports Club (@SimbaSCTanzania) February 20, 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live