Sun, 5 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Dakika 90 katika dimba la Heroes zinakamilika kwa Simba kupoteza kwa magoli 2-1 dhidi ya wenyeji Red Arrows katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika.
Dakika 90 katika dimba la Heroes zinakamilika kwa Simba kupoteza kwa magoli 2-1 dhidi ya wenyeji Red Arrows katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Simba wanafuzu kwenda hatua inayofuata baada ya kushinda kwa aggregate ya magoli 2-4 baada ya kushinda magoli 3-0 Jijini Dar wiki moja iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live