Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Al Hilal ya Saudi Arabia na timu ya Taifa Morocco, Yassine Bounou ameshinda tuzo ya kipa bora wa Mwaka 2023 Afrika akiwabwaga Andre Onana wa Cameroon na Manchester United na Mohamed El Shenawy wa Misri na klabu ya Ah Alhy.
Golikipa wa Al Hilal ya Saudi Arabia na timu ya Taifa Morocco, Yassine Bounou ameshinda tuzo ya kipa bora wa Mwaka 2023 Afrika akiwabwaga Andre Onana wa Cameroon na Manchester United na Mohamed El Shenawy wa Misri na klabu ya Ah Alhy.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live