Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya wanaume ya Morocco imeshinda tuzo ya timu bora ya taifa ya mwaka (2023), ambapo hii ni kutokana na mafanikio waliyoyapata hasa katika michuano ya kombe la dunia 2022 iliyofanyika huko nchini Qatar ambapo walimaliza hatua ya nusu fainali.
Timu ya Taifa ya wanaume ya Morocco imeshinda tuzo ya timu bora ya taifa ya mwaka (2023), ambapo hii ni kutokana na mafanikio waliyoyapata hasa katika michuano ya kombe la dunia 2022 iliyofanyika huko nchini Qatar ambapo walimaliza hatua ya nusu fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live