Tue, 12 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Al Ahly ya Misri na timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Percy Tau ameshinda tuzo ya CAF katika kipengele cha Mchezaji Bora wa Afrika mwaka 2023.
Mchezaji wa Al Ahly ya Misri na timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Percy Tau ameshinda tuzo ya CAF katika kipengele cha Mchezaji Bora wa Afrika mwaka 2023. Tau amewashinda Fiston Mayele na Peter Shalulile aliokuwa anachuana nao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live