Thu, 21 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabingwa wa AFCON 2021, kikosi cha Senegal kimechaguliwa kuwa timu bora ya mwaka barani Afrika katika tuzo za CAF zinazofanyika usiku huu katika mji wa Rabbat nchini Morocco.
Mabingwa wa AFCON 2021, kikosi cha Senegal kimechaguliwa kuwa timu bora ya mwaka barani Afrika katika tuzo za CAF zinazofanyika usiku huu katika mji wa Rabbat nchini Morocco. Senegal walinyakua Ubingwa wa AFCON, Februari mwaka huu mbele ya Mafarao wa Misri katika mchezo wa Fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live