Mshambuliaji wa Senegal na Bayern Munich, Sadio Mane amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka Afrika 2022, akiwapiku Mohammed Salah wa Egypt na mlinda mpango Eduardo Mendy wa Senegal na Chelsea alioingia nao hatua ya fainali.
Mshambuliaji wa Senegal na Bayern Munich, Sadio Mane amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwaka Afrika 2022, akiwapiku Mohammed Salah wa Egypt na mlinda mpango Eduardo Mendy wa Senegal na Chelsea alioingia nao hatua ya fainali. Sadio mane amepata mafanikio makubwa mwaka huu akiwa na Senegal ambapo alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa AFCON 2021, pia akibeba Kombe akiwa na Senegal