Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Ukaguzi Kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), leo imefanya Ukaguzi wa Uwanja wa New Amaan Complex, Pamoja na Viwanja Vya Mau.
Timu ya Ukaguzi Kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), leo imefanya Ukaguzi wa Uwanja wa New Amaan Complex, Pamoja na Viwanja Vya Mau. New Amaan Complex, ni miongoni mwa kiwanja kitakachotumia katika Mashindano Mbalimbali ya CAF, ikiwemo, Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa ndani(CHAN)pamoja na#AFCON2027.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live