Fri, 31 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika CAF, wametangaza tarehe rasmi ya kuanza Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2023).
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika CAF, wametangaza tarehe rasmi ya kuanza Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2023). Katika taarifa yake CAF wamesema Michuano hiyo itaanza Januari 13 na kumalizika Februari 11, 2024 huko Ivory Coast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live