Wed, 14 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF limemtoza faini inayofikia £16,000 na kumfungia kucheza michezo 4 ya kimataifa mchezaji wa timu ya taifa ya Senegal Krepin Diatta
Hii ni baada ya kupatikana na hatia ya kutamka maneno yasiyofaa kwenye mashindano ya AFCON baada ya kutolewa na Ivory coast
Kilichotokea baada ya Senegal kutolewa Diatta alisema mashindano ya AFCON yamejaa rushwa na upangaji wa matokeo CAF ikipanga kumpa taji wamtakae.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live