Tue, 23 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la soka barani Africa CAF limetoa tarifa ya kuanza uchunguzi kwa shirikisho la soka la Morocco [FMRF]na shirikisho la soka Congo [FECOFA ]
Hii ni baada ya timu hizo kuanzisha vurugu baada ya mechi yao kumalizika kwa bao 1-1 hapo juzi.
Taarifa ya CAF inasema maamuzi na hatua za shirikisho zitawekwa wazi baada ya kukamilika kwa uchunguzi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live