Sun, 24 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba wanashuka dimbani kwa Mkapa muda mchache kutoka sasa, katika mchezo wa marudiano kuwania kufuzu kwa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika.
Simba inakwenda kuwavaa Jwaneng Galaxy kutoka nchini Botswana ambao wiki moja iliyopita waliibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Sare ama ushindi wa aina yoyote kwa Simba unawahakikishia kusonga mbele katika michuano hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live